I N A P A K I A


The Catholic Choir Apostolate of Tanzania – Archdiocese of Dar es Salaam. Ukwakata brings together passionate voices and dedicated instructors, empowering choirs to grow musically, spiritually, and as one vibrant community.


Contact Info

Postal Address
P.O Box 90060,
Dar es Salaam, Tanzania

Physical Address
S&F House, Block 30D, Plot No 21, 2nd floor, Mwinjuma Road, Kinondoni

Phone No
+255 222 762 081/0
+255 735 923 521

Email Address
info@ukwakata.or.tz




Contact info

Phone No
+255 222 762 081/0
+255 735 923 521

Email Address
info@ukwakata.or.tz

UKWAKATA JIMBO KUU DAR ES SALAAM
Kwaya ya Mtakatifu Gaspar del Bufalo (KMG – Tegeta)
Ilianzishwa: 1994
Jimbo: Jimbo Katoliki la Bagamoyo
Dekania: Tegeta
Parokia: Parokia ya Damu Takatifu ya Yesu
Aina ya Kwaya: Parish
Wanachama: 0
WhatsApp Image 2025-07-30 at 12.41.24
30 July 2025

Kwaya ya Mtakatifu Gaspar del Bufalo ni kwaya ya Parokia ya Damu Takatifu ya Yesu, Tegeta, iliyoko katika Jimbo Katoliki la Bagamoyo. Kwaya hii ilianzishwa rasmi mwaka 1994, ikiwa na lengo la kumtumikia Mungu kupitia huduma ya muziki wa liturujia na kuinua ibada ndani ya Kanisa.

Kwa zaidi ya miongo mitatu sasa, kwaya imeendelea kuwa imara, ikitenda kazi kwa mapokeo ya kiroho na kwa bidii. Hadi sasa, kwaya ina jumla ya wanakwaya 80, wakiwemo wanawake 50 na wanaume 30.

Kwaya inashiriki kikamilifu katika shughuli zote za kijimbo, kiparokia na kijamii, ikiwa ni pamoja na huduma za Misa Takatifu, shuguli za kitafita za Kanisa na matamasha ya muziki wa Injili. Pia ni chombo cha malezi ya kiroho kwa wanakwaya wake kupitia mazoezi, mafundisho, na semina mbalimbali.

UONGOZI
Kamati Tendaji ya Kwaya

Hakuna taarifa za viongozi kwa sasa.

UANACHAMA
Wanachama wa Kwaya kwa Sauti

Hakuna taarifa za wanachama wa kwaya kwa sasa.