I N A P A K I A


The Catholic Choir Apostolate of Tanzania – Archdiocese of Dar es Salaam. Ukwakata brings together passionate voices and dedicated instructors, empowering choirs to grow musically, spiritually, and as one vibrant community.


Contact Info

Postal Address
P.O Box 90060,
Dar es Salaam, Tanzania

Physical Address
S&F House, Block 30D, Plot No 21, 2nd floor, Mwinjuma Road, Kinondoni

Phone No
+255 222 762 081/0
+255 735 923 521

Email Address
info@ukwakata.or.tz




Contact info

Phone No
+255 222 762 081/0
+255 735 923 521

Email Address
info@ukwakata.or.tz

UKWAKATA JIMBO KUU DAR ES SALAAM
Kwaya ya Moyo Mtakatifu wa Yesu
Ilianzishwa: 1985
Jimbo: Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam.
Dekania: St. Peters
(Mt. Petro)
Aina ya Kwaya: Parish
Wanachama: 5
WhatsApp Image 2025-08-01 at 17.58.48 (2)
04 August 2025
WhatsApp Image 2025-08-01 at 17.58.52
04 August 2025
WhatsApp Image 2025-08-01 at 17.58.46
04 August 2025
WhatsApp Image 2025-08-01 at 17.58.49 (1)
04 August 2025
WhatsApp Image 2025-08-01 at 17.58.50
04 August 2025

Kwaya ya Moyo Mtakatifu wa Yesu ni mojawapo ya kwaya rasmi zinazohudumu katika Parokia ya Mt. Petro, Oysterbay, chini ya Dekenati ya Mt. Petro. Ilianzishwa mwaka 1985 ikiwa na lengo la kuinua ibada na kumtumikia Mungu kupitia muziki mtakatifu wa liturujia.

Kwa zaidi ya miongo mitatu ya huduma, kwaya imeendelea kuwa nguzo ya kiroho na kipaji katika parokia, ikihudumu kwa bidii katika ibada mbalimbali na kushiriki kikamilifu katika matukio ya ndani na nje ya Parokia.

UONGOZI
Kamati Tendaji ya Kwaya
PA

PAULINA ABIAS AUGUSTINO (KIBENA)

Katibu
GM

GRACE MGINA

Mweka Hazina
AM

ADAM MABIKI

Choir Leader
CT

CATRECE THEODORY ABDALLAH

Chair Person
JW

JUDITH WILLIAM KAYUMBA

Assistant Secretary
UANACHAMA
Wanachama wa Kwaya kwa Sauti

Hakuna taarifa za wanachama wa kwaya kwa sasa.