I N A P A K I A


The Catholic Choir Apostolate of Tanzania – Archdiocese of Dar es Salaam. Ukwakata brings together passionate voices and dedicated instructors, empowering choirs to grow musically, spiritually, and as one vibrant community.


Contact Info

Postal Address
P.O Box 90060,
Dar es Salaam, Tanzania

Physical Address
S&F House, Block 30D, Plot No 21, 2nd floor, Mwinjuma Road, Kinondoni

Phone No
+255 222 762 081/0
+255 735 923 521

Email Address
info@ukwakata.or.tz




Contact info

Phone No
+255 222 762 081/0
+255 735 923 521

Email Address
info@ukwakata.or.tz

UKWAKATA JIMBO KUU DAR ES SALAAM
Bikira Maria Mama wa Rozari
Kwaya ya Mtakatifu Dominic Savio (KMDS)
Ilianzishwa: 2018
Dekania: Pugu
(Mt. Fransisco wa Asizi)
Parokia: Bombambili
(Bikira Maria Mama wa Rozari)
Aina ya Kwaya: Parish
Wanachama: 0
WhatsApp Image 2025-08-12 at 08.40.35
12 August 2025
WhatsApp Image 2025-08-12 at 08.40.36
12 August 2025
480734789_654081237185122_2985796084529486555_n
12 August 2025
WhatsApp Image 2025-08-12 at 08.40.34
12 August 2025
WhatsApp Image 2025-08-12 at 08.40.34
12 August 2025
WhatsApp Image 2025-08-12 at 08.40.35 (2)
12 August 2025
484175270_694302136491464_5830993810847537629_n
12 August 2025
481018389_654081240518455_3082014904752502075_n
12 August 2025
WhatsApp Image 2025-08-12 at 08.40.36 (1)
12 August 2025
480959854_654081103851802_7365155342283426356_n
12 August 2025

Kwaya hii ilianzishwa rasmi mwaka 2018 ikiwa na dhamira ya kumtumikia Mungu kwa njia ya muziki wa liturujia na kukuza ibada ndani ya Kanisa. Hadi sasa ina wanakwaya 40 wanaohudumu kwa moyo wa hiari na kufuata maadili ya Kanisa.

Misioni:
Kumtumikia Mungu kwa njia ya muziki wa liturujia, kukuza ibada, mshikamano, na utumishi ndani ya Parokia na Kanisa kwa ujumla.

Shughuli na Huduma:
Kwaya ya Mtakatifu Dominic Savio (KMDS) inahudumu kikamilifu katika ibada mbalimbali za Kanisa, ikiwemo Misa za Dominika, Misa za ndoa, Misa za jumuiya, Misa za kumbukumbu na shukrani, pamoja na Misa za mazishi. Aidha, kwaya hushiriki na kuandaa matamasha ya muziki wa injili kama vile Tamasha la Yesu ni Mwema (TYM) na Tamasha la "Vibe la Pasaka" linalofanyika kila Dominika ya Pili ya Pasaka, likiwakutanisha wanakwaya kutoka ndani na nje ya Jimbo. Vilevile, KMDS imefanikiwa kurekodi albamu mbili na nyimbo kadhaa za single, ambazo zimeendelea kuimarisha huduma ya muziki wa liturujia na kuinua kiwango cha ibada katika Parokia.

UONGOZI
Kamati Tendaji ya Kwaya

Hakuna taarifa za viongozi kwa sasa.

UANACHAMA
Wanachama wa Kwaya kwa Sauti

Hakuna taarifa za wanachama wa kwaya kwa sasa.