I N A P A K I A


The Catholic Choir Apostolate of Tanzania – Archdiocese of Dar es Salaam. Ukwakata brings together passionate voices and dedicated instructors, empowering choirs to grow musically, spiritually, and as one vibrant community.


Contact Info

Postal Address
P.O Box 90060,
Dar es Salaam, Tanzania

Physical Address
S&F House, Block 30D, Plot No 21, 2nd floor, Mwinjuma Road, Kinondoni

Phone No
+255 222 762 081/0
+255 735 923 521

Email Address
info@ukwakata.or.tz




Contact info

Phone No
+255 222 762 081/0
+255 735 923 521

Email Address
info@ukwakata.or.tz

UKWAKATA JIMBO KUU DAR ES SALAAM
Bikira Maria wa Fatima
Kwaya ya Mt. Fransisko wa Asiz (Kwaya B)
Ilianzishwa: 1968
Dekania: St. Joseph
(Mt. Yosefu)
Parokia: Msimbazi
(Bikira Maria wa Fatima)
Aina ya Kwaya: Parish
Wanachama: 5
WhatsApp Image 2025-09-01 at 15.28.25
01 September 2025
WhatsApp Image 2025-09-01 at 15.28.26
01 September 2025

Kwaya ya Mt. Fransisko wa Asiz (Kwaya B) ilianzishwa tarehe 04/10/1968 ikiwa ni kwaya maalum iliyotokana na mabruda wa kifransisko (Makapuchin).

Kwaya hii inahudumu katika misa ya pili kila dominika, kwa sasa tuna wanakwaya 51 ambao wanajitoa kwa hali na mali katika kumtumikia Mungu kwa njia ya uimbaji.

UONGOZI
Kamati Tendaji ya Kwaya
EK

EMMANUEL KIGWASI

Mwenyekiti
JM

JOSEPH MASAMAKI

Makamu Mwenyekiti
FN

FRANSISKA NGOWI

Katibu
SB

SOPHIA BERNARD

Mweka Hazina
JM

JANE MTAVANGU

Assistant Secretary
UANACHAMA
Wanachama wa Kwaya kwa Sauti

Hakuna taarifa za wanachama wa kwaya kwa sasa.